iqna

IQNA

Utawala wa kiimla wa Bahraini umetumia askari kuwazuia Waislamu kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq (AS) katika kijiji cha Diraz nje ya mji mkuu Manama.
Habari ID: 3470496    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/05